Search...

About This Vacancy

Description

NAFASI YA KAZI - MPWAPWA, DODOMA

Tunatafuta mfanyakazi wa kumsaidia mama wa miaka 58 aliyewahi kuvunjika mguu na hawezi kutembea.

Majukumu ya Kazi:

Kumsaidia mama katika shughuli za kila siku.

Kufanya usafi wa nyumba.

Unafanya kazi na mtu mwingine, hivyo mnakua wawili mnasaidiana kazi.

Sifa Zinazohitajika:

Umri kati ya miaka 27 - 35.

Dini yoyote inakubalika.

Mshahara: TZS 120,000

Jinsi ya Kuomba:
Wasiliana kupitia namba ya simu +255 789 523 921 kwa maelezo zaidi.

Contact Property

Listing Title

Get Us Message